Pastor K Chanzu

Pastor K Chanzu Act pastor mtumishi

12/04/2024
21/05/2021

....TAMAA NI MBAYA! Yakobo 4:1-3....

Ni kitu gani kinachosababisha vita na ugomvi miongoni mwenu? Je, si tamaa zenu zinazopingana ndani yenu? Mnatamani lakini hampati kwa hiyo mnaua . Na mnatamani kupata lakini hampati vile mnavyotaka kwa hiyo mnapigana na kuanzisha vita. Mmepungukiwa kwa sababu hamumwombi Mungu. Mnaomba lakini hampokei kwa sababu mnaomba kwa nia mbaya, ili mtumie mtakavyopata kwa kutosheleza tamaa zenu. Tamaa ni mbaya, imefanya wengine wauwe, imesababisha watu kuwa na ugomvi na vita na hii tamaa ndio inasababisha tukiomba tusipewe. Mungu hawezi kukupa unachoomba ikiwa una nia mbaya ama ukipewa unaenda kuanzisha vita, hutapewa. Acha tamaa, omba Mungu kwa roho Safi, ukipewa usianzishe vita wala ugomvi na utazidi kupewa. Uwe na wikendi ya baraka majaliwa tuonane Jumapili tupeperushe bendera ya 5am for 10am. Tukutane Galilaya! MAMA TAIFA EVAH Mwalili

GOD IS OMNIPRESENT!!!
25/04/2021

GOD IS OMNIPRESENT!!!

Address

Ruiru
Kiambu

Telephone

+254702872625

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Pastor K Chanzu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share