02/06/2020
Polisi ambaye anatuhumiwa kusababisha kifo cha George Floyd, Derek Chauvin atafikishwa Mahakamani leo akikabiliwa na makosa ya kuua na kuua bila kukusudia, Wakili wa Floyd anasema Derek alikuwa na nia ya kuua ndio maana alimkanyaga Floyd kwa zaidi ya Dakika 8.