23/02/2023
๐ฝ๐พ๐
๐ด๐
๐
๐ฐ ๐ต๐
๐ฝ๐ณ๐ธ ๐ผ๐ธ๐ฒ๐ท๐ฐ๐ด๐ป
1. ๐ข๐จ๐๐ฃ๐๐ ๐ฌ๐ ๐ช๐๐๐ฃ๐ฏ๐
(a)Unapendekezwa kuanzia 50cm toka juu ya ardhi (GL)
(b)๐ข๐จ๐๐ฃ๐๐ ๐ฌ๐ ๐ฃ๐ฎ๐ช๐ข๐๐ ๐ ๐ช๐๐ฌ๐ ๐๐ง๐๐ ๐ฎ๐ ๐ ๐๐ฌ๐๐๐๐
Unaanzia 1๐ข(3.3f) ๐๐ช 90๐๐ข (3๐) toka GL (Ground Level)
(c)๐ข๐จ๐๐ฃ๐๐ ๐ฌ๐ ๐ฃ๐ฎ๐ช๐ข๐๐ ๐ฎ๐ ๐๐๐ค๐ง๐ค๐๐ ๐ข๐ฅ๐๐ ๐ 6 kwenye ardhi ya kawaida unaanzia1.5๐ข mpaka 2๐ข.( mmomonyoko, uzito wa jengo, aina ya udongo uzingatiwe.
(d) ๐ข๐จ๐๐ฃ๐๐ ๐ฌ๐ ๐ข๐๐๐๐ฃ๐๐ค ๐ข๐๐ง๐๐๐ช ๐ ๐ฌ๐๐ฃ๐ฎ๐ ๐๐ฃ๐๐ค ๐ก๐๐ฃ๐ฎ๐ ๐๐๐๐ฃ๐๐๐ข๐ค๐ฉ๐ค ๐ฎ๐ ๐๐ง๐๐๐ ๐ฃ๐ ๐ข๐๐ฏ๐๐ฃ๐๐๐ง๐ ๐ฉ๐๐ฉ๐ unafikia mpaka 3m (10 f)Kutoka GL.
(e) ๐ช๐๐๐ฃ๐ฏ๐ ๐ฌ๐๐ฃ๐ฎ๐ ๐ ๐ช๐๐๐๐ ๐ช๐ฏ๐๐ฉ๐ค ๐ช๐ก๐๐ค๐ฅ๐๐ฉ๐๐ก๐๐ฏ๐ hufanywa kwa kusimika nguzo ardhini kiasi cha 5m (15f) mpaka 100m (300f) kutegemea na aina ya ardhi na tabia nchi.
2.๐
ฝ๐๐๐
ผ๐
ฑ๐
ฐ ya kawaida ya makazi ina urefu wa 315Cm (3.15m)
3.๐๐
พ๐
ต๐
ฐ๐
ป๐
ธ inayopendekezwa ujenzi wa nyumba kubwa ya makazi ni 150mm (6inch)
4.๐ช๐ฌ๐๐ฏ๐ ๐ฌ๐ค๐ฌ๐ค๐ฉ๐ kwenye jengo usikae kwenye kona kwa usalama wa nyumba.
5. ๐ค๐ข๐ค๐ฐ๐๐ฉ๐ ๐๐ก๐ ๐ฎ๐ฐ๐๐ณ๐ข ๐ฐ๐จ๐ฐ๐จ๐ญ๐ ๐ค๐ฐ๐๐ง๐ฒ๐ ๐ฃ๐๐ง๐ ๐จ kiwe na upana walau ยผ ya urefu(Height) wa uwazi husika.(kuweka uimara wakati wa tetemeko, vimbunga, nk)
โ ยฐยฐยฐยฐ๐ฆ๐๐๐ง๐จ k**a dirisha lililo karibu na kona lina 1.5m basi kikwapa kitapaswa walau kuwa 1.5รท4= 0.375m saw na 37.5Cm
6.๐
๐ฐ๐
๐ธ๐พ ya kutengenezea tofali la msingi ni 1:10
7. ๐
๐
๐
ค๐
๐
1 wa Cement wa 50kg unatengeneza tofali isiyo na tundu 26-38.
8.๐ฎ๐ณ๐จ๐๐๐ฎ ๐ฎ๐ฆ๐๐จ๐ง๐ฒ๐๐ฌ๐ก๐ ๐ค๐ฎ๐ฐ๐ ๐ฆ๐๐ฉ๐๐ ๐ฒ๐ ๐๐ฅ๐๐ญ hupata changamoto zaidi wakati wa vimbunga kuliko yale yaliyoinuka.
9.๐
ฆ๐
๐
ข๐
ฃ๐
๐
๐
mzuri wa mwinuko wa paa ni kuanzia nyuzi 20ยฐ - 30ยฐ
10. ๐๐ฅ๐๐ฆ๐ โ
๐ค๐ฐ๐๐ง๐ฒ๐ ๐ฆ๐๐ก๐จ๐ซ๐จ mara nyingi
huashiria kipenyo yaani d (diameter)
11.๐จ๐ฏ๐๐ซ๐ฅ๐๐ฉ (๐ฅ๐๐ฉ ๐ฅ๐๐ง๐ ๐ญ๐ก) ๐ฒ๐ ๐ง๐จ๐ง๐๐จ
kwenye nguzo ni 50d.
Sawa na 50ร diameter (kipenyo cha nondo husika).
โ ยฐยฐยฐยฐยฐMfano k**a nondo ni 12mm,
ni 50 ร 12mm= 600mm= 60cm
Fanya hivyo kwa 10mm, 16mm, 20mm, 25mm
12. ๐
๐
๐
๐
ya nondo ni 9d (9รkipenyo)
13. ๐จ๐ฏ๐๐ซ๐ฅ๐๐ฉ (๐ฅ๐๐ฉ ๐ฅ๐๐ง๐ ๐ญ๐ก) kwenye ulalo(compressive zone)
kwenye beam ni 24d saw na 24 ร kipenyo cha nondo husika. Mf(24ร12mm)
14. ๐ง๐จ๐ง๐๐จ ๐ข๐ง๐๐ฒ๐จ๐ฉ๐ข๐ง๐๐ฎ๐ค๐ข๐ ๐ค๐ข๐ฉ๐๐ง๐ฒ๐จ ๐ณ๐๐ข๐๐ข ๐ฒ๐ ๐๐๐ฆ๐ฆ
Inapendekezwa ichomewe badala ya overlap kwenye nguzo.
15. ๐
๐
๐
๐
๐
๐
ฃ inayotumika zaidi katika maeneo mengi ni ๐จ๐ซ๐๐ข๐ง๐๐ซ๐ฒ ๐ฉ๐จ๐ญ๐ฅ๐๐ง๐ ๐๐๐ฆ๐๐ง๐ญ (POC)
16. Cement inayotumika katika ujenzi wa maeneo yenye maji mengi ni ๐ฅ๐ค๐ง๐ฉ๐ก๐๐ฃ๐ ๐ฅ๐ค๐ฏ๐ฏ๐ค๐ก๐๐ฃ๐ ๐๐๐ข๐๐ฃ๐ฉ (PPC)
17. ๐ฌ๐๐จ๐ฉ๐๐ฃ๐ ๐ข๐ฏ๐ช๐ง๐ ๐ฌ๐ urefu wa ๐ช๐ ๐ช๐ฉ๐ wenye ๐ฃ๐๐ช๐ฏ๐ค
usiobeba chochote juu ni 2๐ข.
18. ๐ฃ๐๐๐๐จ๐ ๐ ๐๐ฉ๐ ๐ฎ๐ ๐ฃ๐ค๐ฃ๐๐ค ๐ฃ๐ ๐ช๐จ๐ค ๐ฌ๐ ๐ฃ๐๐ ๐ฌ๐ ๐ฏ๐๐๐
(๐๐ก๐๐๐ง ๐๐ค๐ซ๐๐ง)
(a).vitako vya nguzo ardhini (footing)
ยฐยฐ50 mm
(b)Nguzo (column)ยฐยฐยฐ 40 mm
(c)BEAMS za kawaida 25 mm
(d)SLABS ya kawaida : 15 mm- 20mm
(e)ngazi ยฐยฐยฐ 15 mm
19. ๐
๐
๐
ฆ๐
๐
๐
๐
cha chini cha unene wa slab ni 125mm.
20. Ukubwa wa ๐ฃ๐ค๐ฃ๐๐ค zinazotumika kwenye slab usizidi โ
ya unene wa slab.
๐ข๐๐๐ฃ๐ค;-
Slab 150mm sawa na 150รโ
=18ยพ= 18.75mm (isizid hapo).
21. ๐ฝ๐ถ๐ฐ๐
๐ธ inapaswa iwe na unene
(a) ( Riser ) 150mm- 200m
(b)Upana wa sehemu ya kukanyaga ( tread) 250mm-300mm.
22. ๐
๐
๐
ฆ๐
๐
๐
๐
cha chini ukubwa wa nondo kinachotumika kwenye nguzo ni 12mm
23. ๐
๐
๐
ฆ๐
๐
๐
๐
cha chini idadi ya nondo kwenye nguzo ya duara ni nondo 6pcs.
24.๐
๐
๐
ฆ๐
๐
๐
๐
cha chini cha idadi ya nondo kwenye nguzo ya mraba 4pcs
25. ๐ฃ๐ค๐ฃ๐๐ค zisiungwe kwenye umbali (Zone) unaofanana au eneo moja.
Ikilazimika basi isiwe kwa zaidi ya 50%.
26.Grade za zege zinazotumika mara kwa mara ni
M5 = 1:4:8
M10= 1:3:6
M15= 1:2:4
M20= 1:1.5:3
M25= 1:1:2
27. ๐จ๐๐๐ง๐๐๐๐ฉ๐๐ค๐ฃ (Kutengana kwa kokoto, cement na mchanga) hutokea kwa sababu hizi
(a) km zege ikimwagw kwa umbali wa zaidi ya 1.5m.
(b)zege inapozidi kiwango cha maji
๐ข๐๐๐๐๐ง๐ ni kupoteza ubora uliokusudiwa na kupasuka.
28. ๐ช๐๐๐ฃ๐ฏ๐ ๐ฌ๐ ๐ฉ๐ค๐๐๐ก๐ ๐๐ก๐ค๐๐
hautakiwi kuzidi kozi 8 kwa
siku.
29.๐
ฆ๐
๐
ข๐
ฃ๐
๐
๐
wa slop ya kumwaga maji katika uwanja wa nyumba ni 1inch chini kwa kila 1 ft.
30.๐
ค๐
๐
๐
๐
ฉ๐
imara wa nyumba unatumia nondo (2) 8mm kila baada ya kozi 5.
31.๐
ฟ๐
ป๐
ฐ๐๐๐
ด๐ ya ukuta inatakiwa iwe na unene wa 12mm-20mm.
32. ๐
ฟ๐
ป๐
ฐ๐๐๐
ด๐ ya dari inatakiw iwe 6mm
33.๐
ฟ๐
ป๐
ฐ๐๐๐
ด๐ inapaswa kuwa katika hali ya unyevu (Curing) kwa muda wa siku 7.
34.๐๐
ฐ๐๐
ธ๐
พ ya cement ya plaster
(a) 1:3 na1:4 ndani
(b)1:5 na 1:6 nje kwa hali ya hewa.
35.๐๐
ฐ๐๐
ธ๐
พ ya cement ya kujengea ni
(a) 1:4 kwa 1:5 kuta
(b) 1:6-1:8 ujenzi mwepesi)
(c) 1:3 kwa 1:4 msingi ardhi kavu na maji.
36.Sukari inaweza kutumika km mchanganyiko wa nyongeza kufanya cement isigande haraka.
Kuna ratio maalum inayopendekezw.
37.๐๐๐ข๐๐ฃ๐ฉ inatakiwa itumike ndani ya miezi 3 tangu kutengenezwa.
38.๐ค๐๐ฆ๐ข๐ค๐๐ฅ๐ข zilizomo kwenye cement zinawaka moto kwenye jotoridi 1400ยฐC
39.๐๐๐ข๐๐ฃ๐ฉ iwekwe 20cm kutoka kwenye sakafu na 30cm kutoka ukutani kuepuka unyevu.
40.๐
ฝ๐
ฐ๐
ผ๐
ฑ๐
ฐ zinazoonyeshwa kwenye cement mfano 42.5 ni grade za kiwango cha kuhimili mgandamizo. (Compressive strength).zinapimwa kwa N/mmยฒ (N=kg-force 0.1
41. ๐
ค๐
๐
๐
๐
ฉ๐
uliotumia Odinary Potland Cement
(OPC) unapaswa kumwagiwa maji kwa siku 10 ( Curing)
42.๐๐๐ข๐๐ฃ๐ฉ hufikia kiwango chake cha utimilifu katika kufanya kazi siku 28.
43.๐
๐ผ๐
๐ฐ๐ถ๐ธ๐ฐ๐น๐ธ (curing) katika maeneo ya joto huanza masaa 6 mpaka 24.
44.๐ข๐ช๐๐ ๐ฌ๐ ๐ ๐ช๐๐ช๐ฃ๐๐ช๐ shuttering( formwork) kwenye ujenzi uliotumia zege
(a) ๐ ๐ช๐ฉ๐ za zege masaa 16-24
(b) ๐ฃ๐๐ช๐ฏ๐ค (column) masaa 16 -24
(c) ๐จ๐ก๐๐ ya kawaida 3 days
(d) ๐๐๐๐ข๐จ zinazofikia 4.5m Siku 7
(e) ๐๐๐๐ข๐จ zinazozidi 4.5m na archi zinazofikia 6m siku 14
(f) ๐๐ง๐๐ zinazozidi urefu wa 6m siku 21.
45.๐๐ค๐ก๐ช๐ข๐ฃ (nguzo)hutumia zege ya grade M25 1:1:2
46.Kwa ujumla inapendekezwa umwagiliaji au ๐๐ช๐ง๐๐ฃ๐ katika ujenzi usipungue siku 10 kwa siku za jua kali
Siku 7 kwa siku za kawaida hii ni kwa cement ya (OPC). Cement ya kawaida.