mpaka_home_services

mpaka_home_services Mpaka Home Services ni wasaidizi wako wa nyumbani/ofisini kwako ama mahali popote ulipo.

Tunakuhakikishia wewe kutopata usumbufu wa kwenda kufanya mahemezi 1 Sokoni, 2 Dukani , 3 Hotelini..4 Restaurant.Karibu tukuhudumie Boss wetu.

03/12/2020

Sherehe nzuri inahitaji maandalizi mazuri na watu wanaozingatia ubora katika kazi zao.

▪▪Twambie nini unataka viwepo siku ya siku yako ya sherehe nasi tutakuandalia yote uyatakayo kutoka sehemu zinazozingatia ubora wa hali ya juu.

▪▪Kwa wewe uliye na rafiki,ndugu au jirani yako na uko mbali na Dodoma na unahitaji kumsurprise basi huitaji kupata shida.

Wasiliana nasi kwa simu zetu za ofisi 0758 489 488 / 0735 489 488........
.
.................

Wasaidizi wako tupo tayari kukuhudumia katika ubora wa hali ya juu na uharaka zaidi. Twambie ungependa nini uletewe mpak...
27/11/2020

Wasaidizi wako tupo tayari kukuhudumia katika ubora wa hali ya juu na uharaka zaidi. Twambie ungependa nini uletewe mpaka mahali ulipo kutoka Sokoni | Restaurant | Hotelini | Cafe | Dukani| Supermarket | Na kwingineko utakapo.

⏩ Tupigie kwa simu zetu za ofisi +255 758 489 488 / +255 735 489 488.

⏩Ofisi zetu za zipo Kisasa karibu na Kisasa secondary.

Chill Masikani,Ghetto,Ofisini kwako au Chuo na Agiza chakula chako/fast food yako pendwa kutoka sehemu yako pendwa na . ...
26/11/2020

Chill Masikani,Ghetto,Ofisini kwako au Chuo na Agiza chakula chako/fast food yako pendwa kutoka sehemu yako pendwa na .

⏩Twambie Restaurant yako pendwa Dodoma na aina ya chakula ukipendacho nasi tutakuletea mpaka nyumbani kwako au mahali ulipo kwa haraka zaidi.. .

⏩Tupigia kwa simu zetu za ofisi 0758 489 488 / 0735 489 488.....
........
....
.....
...
.. .
....
.......

18/11/2020

Tumia simu yako kuagiza mahitaji yako ya kila siku kutoka sokoni,restaurant, dukani,cafe,hotelini,supermarket nk. nk.

Uzalendo ni kuipenda nchi yako na kuiona kila siku ikiwa na viongozi wazuri.Mungu na atupe hekima ya kujua viongozi wote...
24/10/2020

Uzalendo ni kuipenda nchi yako na kuiona kila siku ikiwa na viongozi wazuri.

Mungu na atupe hekima ya kujua viongozi wote wazuri wa kuliongoza taifa letu. Amen

Agiza utakacho na utaletewa mpaka mlangoni kwako.
15/10/2020

Agiza utakacho na utaletewa mpaka mlangoni kwako.

Twambie ni Fast food ipi unataka kutoka moja ya restaurant / Hotel yako pendwa hapa Dodoma nasi  tutakuletea mpaka nyumb...
15/10/2020

Twambie ni Fast food ipi unataka kutoka moja ya restaurant / Hotel yako pendwa hapa Dodoma nasi tutakuletea mpaka nyumbani/ ofisini kwako kwa haraka zaidi..........

/pork

15/10/2020

Dodoma na Mitaa yake yote kote tunafika na kukuletea  utakacho kutoka restaurant, Sokoni, Supermarket,Dukani, Hotelini Nk. Agiza mahitaji yako yote nasi tutakulea popote ulipo kwa haraka zaidi.

Wengi wanafaidi usaidizi wetu twambie leo nawe unataka nini kutoka sokoni,hotelini,dukani,supermarket,cafe,restaurant n....
14/10/2020

Wengi wanafaidi usaidizi wetu twambie leo nawe unataka nini kutoka sokoni,hotelini,dukani,supermarket,cafe,restaurant n.k nasi tutafanya yote uyatakayo kwa ubora na uharaka wa hali ya juu........
wasiliana nasi na twambie, na faster utaletewa mpaka mlangoni kwako

+255 758 489 488 / +255 735 489 488....
Ofisi zetu zipo dodoma kisasa karibu na kanisa la Kkkt kisasa.

Nyerere day
14/10/2020

Nyerere day

Twambie nini unataka viwepo kwenye birthday yako au ya mtu wako wa karibu nasi tutakuandalia kilicho bora na kukuletea v...
12/10/2020

Twambie nini unataka viwepo kwenye birthday yako au ya mtu wako wa karibu nasi tutakuandalia kilicho bora na kukuletea vyote ulivyotwambia mpaka mahali ulipo....
▶Tupigia na twambie
+255 758 489 488/ +255 735 489 488.

▶Ofisi location
Dodoma kisasa near Kisasa secondary

Ukiachilia mbali weledi tulio nao katika kufanya kazi zetu kwa uaminifu Bado tunakutaka na wewe uhakikishe k**a tusemayo...
01/10/2020

Ukiachilia mbali weledi tulio nao katika kufanya kazi zetu kwa uaminifu Bado tunakutaka na wewe uhakikishe k**a tusemayo na kutenda ndio.

Huitaji kabisa kuwa na wasiwasi na sisi kwani malipo yote ya ulivyo Agiza ni baada ya kupokea na kuhakikisha ulivyoagiza.....

Tupigie/text na twambie unataka nini kwa habari ya mahitaji yako yote nasi tutakuletea kwa haraka zaidi.

Address

Dodoma

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when mpaka_home_services posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to mpaka_home_services:

Share