Enterpreneurs

Enterpreneurs discussing different matters about small business

24/10/2019

Ur success is determined by ur attitude, mafanikio yako, huamuliwa na mtazamo wako...
Hivo amua kwa busara kile unachotaka kukifanya leo kwani ndicho kilicho beba sura kamili ya maisha yako yajayooo...
By D.M. Katembwe.

06/05/2019

Wapo wengi wanaofikiria kuwa biashara imara ni ile ya kuuza na kununua, lakini leo natamani utambue kuwa biashara ni zaidi ya kuuza na kununua namaana kwamba unaweza ukauza au ukanunua bidhaa au huduma lakini bado usiwe mfanya biashara. Biashara ni faida na hasara...hakikisha unapo uza unatengeneza faida kuliko hasara na hakikisha unapo nunua unanunua kwa bei ya faida na si ya hasara. K**a umenifuatilia vzr utagundua kua wote muuzaji na mnunuzi huhitaji faida hii ndio biashara.

Facttt....
10/02/2019

Facttt....

19/12/2018

Huwezi kujiajiri ikiwa huchukii kuajiliwaaaa!

09/06/2018

TAFAKARI TIME

asubuhi kunapokucha...asilimia 95 ya watu wakubwa kwa wadogo tunauaga usingizi na kunyanyuka kwenda kupigana au kufanya kazi mbalimbali za kutuwezesha kupata kipato, cha kutuwezesha kukidhi mahitaji yetu ya kila siku......swali ni je fursa huwa zinaisha pale wanaozitafuta wanapo ongezeka? K**a ndio au hapana kwanini/ kivipi? Jisikie huru kuchangia maada hii.....karibuni.

14/05/2018
30/09/2017

the world is changing stop being stagnant accept changes in positive way and make more money through that changes, ni ukweli usiopingika kuwa Dunia ya jana sio dunia ya leo kadri technolojia inavo shika kasi ndivo fursa za kibiashara huongezeka, japo wapo wanao amini kuwa fursa hupungua kutokana na mabadiliko haya laa! hasha fursa hubaki pale pale ila mfumo wa namna ya kuikabili fursa ndio hubadilika kahiyo sisi wajasiliamali hatuna budi kujifunza zaidi juu ya technolojia ili tusiachwe na mabadiliko haya...change begins with youuu! let's face the digital world of bussiness

02/07/2017

MTAJI..Neno mtaji ni neno linalojirudia rudia katika kila hotuba, mjadala au mahojiano ya vijana mbalimbali nchini na Duniani kwa ujumla, inaaminika kuwa Mtaji ndio kikwazo cha vijana wengi kushindwa kujihusisha na shughuli mbalimbali za kijasiliamali, ni kweli ni moja ya changamoto inayopelekea vijana wengi kubweteka hali inayo pelekea vijana kuishi maisha yasiyotamanika katika jamii, lakini naomba ifahamike kuwa mtaji ni mtaji nikiwa na maana kuwa wazo ulilonalo laweza kuwa mtaji, mda ulionao waweza kuwa mtaji, akili yako ni mtaji, pia watu na vitu vinavyo kuzunguka vyaweza kuwa mtaji vikitumiwa kwa ufasaha na ufanisi wake japo vyaweza kuto kuwa katika hali ya kifedha (cash money) ila vikitumika kimanufaa vya weza kuzaa fedha na mwishowe kubadili historia ya maisha yako na ukawa mtu mwingine kabisa katika tasnia hii ya ujasiliamali..pia nataka kushare nanyi kuwa kiasi chochote cha fedha chaweza kuwa mtaji si lazima uwe na kiwango kikubwa cha fedha ndio ufungue biashara au mradi k**a wanavyo fikiri vijana wengi..waweza anza na kilicko mkononi na kisha kikakupeleka katika hatua nyingine ambayo hukuwahi kuifikiria hata wakati wa zama za musa Mungu alimuuliza musa "una nini mkononi" musa akajibu nina fimbo" Mungu akasema piga mwamba mara tatu kisha wakapata maji...hii ni kudhihirisha kuwa cha kuthamini ni kile ulichonacho mkononi kwa sasa na si kile unacho kifikiria kwani ili ukifikie lazima uanze hatua na hiki kidogo ulichonacho...

02/06/2017

life needs sacrifice if not of time but for something you love in order to accomplish something important others must be putted aside don't afraid of losing something you love for getting another for life

08/04/2017

Geting rich is not only a dream but a fact of start working and being focused

13/12/2016

kuna tofauti kubwa kati ya hivi vitu vitatu giza, mwanga na nuru
hakika huwezi kuutambua mwanga k**a hapana giza ingawa mwanga ukitawala huzaa nuru. kwahiyo mwanzo wa maisha ni giza na huwakilishwa na magumu unayo yapitia lakini fulsa unazokutana nazo kila inapoitwa leo ndio mwanga unao weza kuleta nuru yaani mafanikio katika maisha yako jambo la kuzingatia ni kuwa heshimu kila fulsa unayoipata kwani hujui kesho itakupatia nuru ya kiasi gani japo huanza k**a mwanga ulio zongwa na giza totoro

15/11/2016

life needs opportunity cost...selecting among the alternatives coz not everything suit every one

Address

Mbeya
123456

Telephone

+255789850433

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Enterpreneurs posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Enterpreneurs:

Share