31/01/2021
Enyi wapendwa muipendao Tanzania Sana, wazalendo wa kweli.. msipendezwe na yeyote aitajaye Tanzania katika yaliyo mabaya kwani aisemaye Tanzania kwa baya au kwa jema anatunenea sisi sote,,, huyo ayanenaye mabaya juu yetu, atuduru sote, Basi na akainuke aliye mcha Mungu na atuombee na aombe juu ya watawala wetu ili Mwenyenzi Mungu afanyae yote kwa upole awarejeshe kwa neema yake kuu... Hili halihitaji misuli wala mali na fedha, bali Imani na kinywa kinenacho kwa hekima toka Mungu mwenyewe... Ee Mungu tuponye na tauni na kila la kufisha kupitia Jina lako Kuu ... AMEN...!